Mtoto Sadiki ambaye alishiriki katika Gwaride la heshima kwenye maadhimisho ya miaka 38 ya CCM mjini Songea mkoani Ruvuma akikwa katika picha ya pamoja na wadau Haruna Mbeyu aka Meya wa pili kutoka kulia, Abdulaziz Jaad Mwenyekiti wa CCM East London na baadhi ya maofisa wa serikali walioshiriki katika maadhimisho hayo yaliyofana sana yakiongozwa na Mwenyekiti wa CCM Rais Dr. Jakaya Kikwete.
Wadau wakipozi kwa picha leo asubuhi kabla ya kuanza safari yakurejea Dar es salaam.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
1 comment:
MUBARAKHA KIMWELIYesterday 19:47
1
Reply
Hongera kwa chama tawala kwa kujenga msingi bora ya kimaendeleo.Allah awajalie viongozi wa taifa hili
Post a Comment