Tuesday 17 February 2015

HII NI COPY N PASTE! NAILETA KAMA ILIVYO

In other news, Tanzania’s sweetheart ,Wema Sepetu is officially dating mheshimiwa Ivan kutoka Uganda ambae kwa sasa anaishi South Africa.

Kwa msiomfahamu IVAN ni ex-husband wa GF wa Tanzania’s superstar Diamond PLATNUMZ anaejulikana kama Zari the boss lady…..


Yes, this is 120% confirmed,no, its 200% CONFIRMED. Kwasasa hawataki kuweka relationship yao out there kama kina fulani sababu wao wako pamoja sababu wanapendana na sio sababu wanataka kushindana na their exes au sababu they are looking for attention. I think Wema kajifunza kuwa hizi relationship za mapicha kila baada ya  dakika 5 huwa hazi last so kaamua yeye na Ivan mapenzi yao yawe ya kwao wao mpaka hapo watakapo ona wamejuana vizuri ndo watayaweka wazi…
Yes, wengi wataona kuwa sio sawa hawa kuwa pamoja kwa sababu zilizo wazi ila pia mkumbuke kuwa sometimes watu hukutana kwenye circumstances za ajabu ajabu. Yes,labda wasingejuana kama sio exes wao kutoka pamoja ila again labda ndo ilikuwa njia ya Mungu kuwakutanisha wawili hawa….Hata Rihanna aliimba ” We found love in a hopeless place”  naongea hivi sababu, it is real btween these 2 na wanapendana haswaaaa. Na nimeamua kuwa support mapenzi yao sababu wanayaficha which means ni mapenzi ya kweli,sio mapenzi ya magazeti au kuonyesha watu au kutafuta attention like kina fundenge… Yani ni mapenzi ya kiutu uzima sio ya nursery school. Nimeyapenda mnoooo… Na mdogo wangu mnamjua kwa kufall in love…… Hahahahahahaha……
CHANZO.U-TURN

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!