Familia ya Bobbi Kristina Brown watachomoa mashine
yake ya kupumulia siku ya Jumatano ili Brown
aweze kufa siku ileile aliyokufa mama yake
Cissy Houston, alipendekeza wazo hilo mwishoni
mwa juma , kulingana na the Post.
Familia inapanga kuchomoa mashine ya kupumulia
usiku wa Jumanne kuingia Jumatano.
Brown, mwenye umri wa miaka 21, amepooza
tangu alipokutwa kwenye bafu
nyumbani kwake huko Georgia, Januari 31.
Polisi wanafanya uchunguzi, wakimfutailia
Polisi wanafanya uchunguzi, wakimfutailia
zaidi mpenzi wake Nick Gordon, aliyemkuta kwenye bafu hilo.
Inaripotiwa Brown alikuwa na majeraha usoni alipokutwa.
Whitney Houston alifariki dunia Februari 11, 2012,
baada ya kuzama kwenye bafu
lililojaa maji na baadae mwili wake ukikutwa na dawa
za kulevya.
Familia yake na marafiki, akiwemo baba yake
Familia yake na marafiki, akiwemo baba yake
Bobbi Kristina, Bobby Brown, wameandaa sala
ikiambatana na mishumaa siku ya Jumatatu
huko Riverdale.
No comments:
Post a Comment