Kaimu Mkurugenzi Mwendeshaji wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) anawatangazia Wasailiwa waliochaguliwa kuhudhuria usaili wa mahojiano utakaofanyika kuanzia tarehe 19 – 20 Disemba, 2014 katika Chuo cha Taifa cha Utalii (BUSTANI) Mtaa wa Shaban Robert kwa kuzingatia muda na tarehe kama ratiba inavyoonyesha:-
AU
***BONYEZA HAPO CHINI KUSOMA MAJINA YOTE****
===========
Download attachments:MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI BODI YA UTALII.
No comments:
Post a Comment