Sunday 26 October 2014

TAMASHA LA SIKU YA MSANII LAFANA"

.
.Pichani:Dr Chris Mauki na Jokate Mwegelo walikuwa washehereshaji wa Tamasha hilo kwenye Ukumbi wa Mlimani City uliopo Dar es Salaam.

Usiku wa Oct 25 kumefanyika tamasha kubwa la wasanii liitwalo SIKU YA MSANII,kwenye ukumbi wa Mlimani City Dar es Salaam.Katika tamasha hilo lilipata mgeni rasmi ambaye alikuwa ni makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt  Mohammed Gharib Bilal.
Miongoni mwa wasanii waliotumbuza katika jukwani akiwemo,Diamond Platinumz,Yamoto Band,Isha Mashauzi,Kilimanjaro Band na mchekeshaji kutoka Kenya Eric Omondi.
Nimekuandalia picha mbalimbali hapa
.
.
Pichani:Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt  Mohammed Gharib Bilal akimkabidhi Edward Said Tingatinga tuzo ya msanii aliyejitolea maisha yake yote katika Sanaa.
.
.
.
.

.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.

.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
Image00013
.
.
.
.
Image00017
.
Via- MilaardAyo.com

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!