Friday 26 September 2014

WAWAKILISHI WA TANZANIA KWENYE JUMBA LA BIG BROTHER

Mara baada ya kuungua kwa jengo la Big Brother nchi South Africa na kuhairishwa kwa mashindano hayo na inasemekana kuwa yatafanyika nchi Uingereza na siyo South Africa kama kawaida yake.
 Big mwenyewe aanza kutangaza majina ya washiriki katika jumba hilona alianza na washiriki kutoka nchini Uganda na hatimaye nchini Tanzania.


IDRIS SULTAN na IREN EVEDA ndiyo wawakilishi rasmi wa Tanzania katika jumba la Big Brother mwaka huu.

VIA-BLOG YA WANANCHI

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!