Wednesday 17 September 2014

PSPF YAEENDELEA KUBORESHA MAISHA YA WANACHAMA WASTAAFU

YBY_5908Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Bw. Assah Mwambene akitoa pongezi kwa Mfuko wa Pensheni wa PSPF kwa mafanikio waliopata tangu kuanzishwa kwa mfuko huo, kwenye mkutano na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo jijini Dar es Salaam

YBY_5951Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF Bw. Adam Mayingu akiwaeleza waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu mafanikio ya mfuko huo kwa kipindi cha miaka 15 tangu ulipoanzishwa. Kushoto ni Afisa Uhusiano Mwandamizi wa PSPF Bw. Abdul Njaidi
YBY_5960-1Baadhi ya watumishi wa PSPF na waandishi wa habari wakifuatilia mkutano wa mfuko huo uliofanyika leo jijini Dar es Salaam.
YBY_6058Wakurugenzi wakionesha kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) tuzo mbalimbali zilizotolewa kwa PSPF. Kutoka kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF Bw. Adam Mayingu, Mkurugenzi wa Fedha na Utawala Bw. Masha Mshomba, Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Bw. Assah Mwambene na Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Mfuko wa PSPF Bi. Neema Muro.
PICHA ZOTE NA GEORGINA MISAMA (MAELEZO)

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!