Monday 1 September 2014

MAKOMANDOO WA NEPAL WAKIONESHA NYUMBA YA MNYARWANDA WALIYOKUWA WAKILINDA UWANJA WA NDEGE DAR

 Komandoo Sidhee Bahadurkatuwal (kulia) kutoka Nepal akionesha nyumba ya Mrwanda aliyokuwa akiilinda kupitia kampuni ya Ulinzi ya Advanced Security  karibu na  Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam, akiwa na makomandoo wenzake kutoka Nepal,


 Maofisa wa Uhamiaji wakimhoji mama wa kitanzania aliyeolewa na mnyarwanda ambao nyumba yao ilikuwa ikilindwa na Komandoo kutoka Nepal
 Baadhi ya makomandoo wa kijeshi kutoka Nepal wakiwa wamevalia sare ya Kampuni ya Ulinzi ya Advanced katika nyumba hiyo.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!