![430663_heroa](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/430663_heroa.jpg)
Muller amefurahia michuano ya mwaka huu ya kombe la dunia kwa kufunga magoli matano katika mechi tano alizocheza mpaka sasa na magoli kama hayo yalimfanya abebe kiatu cha dhahabu nchini Afrika kusini mwaka 2010.
Nyota huyo wa Bayern Munich alisema yeye na wachezaji wenzake watafanya kila linalowezekana kuhakikisha wanatwaa kombe la dunia kwa mara ya kwanza ikiwa imepita miaka 24.
KWA HISANI YA FULLSHANGWE
No comments:
Post a Comment