Tuesday, 15 July 2014

MADUKA YA MWANANYAMALA YAUNGUA!


Zaidi ya nyumba 3 za Biashara zilizopo karibu na Hospitali ya Mwananyamala  jijini Dar es Salaam zinateketea kwa moto ambao bado unaendelea kuwaka kwa kasi na kutishia nyumba zingine zilzopo jirani. Zimamoto wamefika eneo la tukio na kuanza kuzima moto. Endelea kufuatilia kwa taarifa 






CRD: Fredy Tony wa Blog za Mikoa

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!