Mwili wa marehemu Recho aliyekuwa msanii wa bongo muvi na mwili wa mtoto wake umetolewa katika hospitali ya taifa muhimbili na kupelekwa nyumbani kwao maeneo ya Palestina jijini Dar, na baadaye viwanja vya leaders club kwa ajili ya kuagwa
Simanzi na vilio vilitawala nyumbani kwa marehemu wakati mwili huo ukiagwa na ndugu wa karibu kwa dakika chache kabla ya kwenda viwanja vya leaders
|
Majeneza 2 ya Bongo Muvi Star Rachel na mtoto wake . |
|
Marehemu Rachel wa Bongo Muvi alipokuwa hai!! |
|
Marahemu Rachel wakati wa uhai wake akiwa na Mumewe live!! |
|
Le Mutuz with Clouds FM Star Zamaradi Mketema & Star TV Star Sauda Mwilima |
No comments:
Post a Comment