Sunday, 30 March 2014

DIAMOND KWENDA NCHINI NIGERIA KUFANYA VIDEO NYINGINE..

diamond lagos trip-1
Diamond akiwa na Bab Tale tayari kwa safari yao

Usiku wa kuamkia leo Platnumz amepost picha Instagram akiwa ameongozana na meneja wake Bab Tale wa Tip Top Connection, wakiwa uwanja wa ndege JNIA tayari kwa safari yao ya Lagos.
diamond lagos trip-2
Wema hakukosa kumsindikiza kipenzi chake uwanja wa ndege

Hivi karibuni hit maker huyo wa ‘Number 1’ alisema mbali na kushoot video, kitu kingine anachoenda kukifanya Nigeria ni pamoja na kufanya collabo zaidi na wasanii wa huko kwa lengo la kuliteka soko la Afrika kwa ujumla

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!