Idara ya Utabiri wa Hali ya Hewa wametoa taarifa inayoonesha kuwapo kwa mvua kubwa na upepo mkali katika mikoa ya Dar es Salaam, Pwani, Unguja, Pemba nk. Utabiri huo ni kuanzia tarehe 11 - 13 Februari. Wanasema uwezekano wa kutokea ni asilimia 60.
Imetolewa na
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania.













No comments:
Post a Comment