Watu wa 3 wamekufa papo hapo kwa kupigwa risasi na wengine kujeruhiwa kwa kukatwa mapanga katika mkesha wa mwaka mpya 2014.
Tukio hilo lilitokea katika eneo la Pugu Kigogofreshi barabara ya chanika usiku wa kuamkia mwaka mpya ambapo watu hao wa 3 walipigwa risasi na kundi la watu waliokuwa katika sherehe za mwaka mpya, kundi la watu hao linalosadikiwa kuwa ni la vibaka , walitanda barabarani na kuzuia magari kupita.
kwa mujibu ya askari polisi waliokuwa katika doria miili ya watu 3 ilipelekwa katika hospitali ya Amana pamoja na majeruhi kadhaa waliojeruhiwa kwa risasi.
Mwandishi wa habari hizi akiwa katika hospitali ya Amana ambaye pia kijana wake aliejeruhiwa kwa panga usoni katika sakata hilo.
kwa mujibu ya askari polisi waliokuwa katika doria miili ya watu 3 ilipelekwa katika hospitali ya Amana pamoja na majeruhi kadhaa waliojeruhiwa kwa risasi.
Mwandishi wa habari hizi akiwa katika hospitali ya Amana ambaye pia kijana wake aliejeruhiwa kwa panga usoni katika sakata hilo.
Katika eneo la kiwalani kulikuwa na matukio ya kupora simu fedha na kupigana mapanga kwa kila mtu aliekutwa nje ya nyumba yake na pia kwenye nyumba za starehe.
Inasemekana kundi hilo kubwa la vibaka lililotokea sehemu ya vituka.
Inasemekana kundi hilo kubwa la vibaka lililotokea sehemu ya vituka.
Vurugu hizo ziliendelea mpaka eneo la kiwalani relini nyumba zilzopo katika maeneo hayo zilivamiwa na kundi hilo la watu wakitumia silaha za mawe ,mapanga ,fimbo na pia uporaji wa simu na pesa ulitawala, kundi hilo pia lilivamia maeneo ya mpakani bar,yombo matangini pia walipiga watu kwa mapanga eneo la ccm kata ya kiwalani.
Mwandishi wa habari hizi alishuhudia vijana 2 walioletwa na askari katiaka hospitali ya amana kufuatia vurugu zilizokuwa zikiendelea wakati wa sherehe za mwaka mpya, mmoja ya majeruhi hao akiwa na risasi mguuni .
Picha na blog ya mzuka wa fungo
Picha na blog ya mzuka wa fungo













No comments:
Post a Comment