TUNAOMBA RADHI KWA PICHA HIZI!
![](https://fbcdn-sphotos-e-a.akamaihd.net/hphotos-ak-prn1/156198_652643868131810_678668583_n.jpg)
![](https://fbcdn-sphotos-f-a.akamaihd.net/hphotos-ak-prn2/1601571_652644528131744_1346323173_n.jpg)
![](https://fbcdn-sphotos-c-a.akamaihd.net/hphotos-ak-prn1/551303_652643891465141_1251187503_n.jpg)
LEO majira ya saa nane alasiri Basi lenye maarufu kama ALLHAMDULILAH lilipata ajali mbaya huko mkoani Lindi watu kumi walipoteza maisha papohapo na 28 mahututi wapo Hosptali ya mkoa wa lindi sokoine,
Chanzo cha ajali hilo ni baada ya Basi hilo kugongana na
lori la mizigo wakati basi hilo likitokea Dar kuelekea Mtwara ma kupoteza mwelekeo na kupinduka mita kadhaa kutoka barabarani hali iliyochanganya na utelezi mkali kutokana na mvua kubwa iliyonjesha muda mchache kabla ya ajali.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhGzRfEPP0fUk9SOZSiCBrwYsq2vfIR18reYTnh4yTN01wEwjqXzR8eH3IR3xUPzwpXH8JbqEMKr8ONjgM5PnWHrtXMnkXC1sJy37A3scY5K3C9yiLWk6-uyy32Vk8XCyGNgMv234eoYfYD/s1600/1016239_584028935005631_2037080414_n.jpg)
MWENYEZI MUNGU AWATANGULIE MAJERUHI WAPONE MAPEMA, WALIOPOTEZA MAISHA MUNGU AWALAZE MAHALA PEMA PEPONI.
No comments:
Post a Comment