Thursday, 19 December 2013

JUST IN....: BASI LA HOOD LAPINDUKA MVOMERO MKOANI MOROGORO


Kuna aliyebanwa hapa zinafanyika jitihada za kuchimba kumwokoa. Inasikitisha na kutia matumaini kumwona aliyebanwa kuanzia kiuno kwenda miguuni naye anajitahidi kuchimba kwa mikono


Basi la Kampuni ya Hood Limited lenye namba za usajili T 159 AXM lililokuwa linatoka Mbeya kuelekea Arusha limepinduka eneo la Melela- Mlandizi, Mvomero mkoani Morogoro na kujeruhi watu kadhaa na kuua mtu mmoja. Basi hilo lilikuwa likijaribu kulikwepa gari lingine.
PICHA NA MAGGID MJENGWA

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!