Friday 27 December 2013

JK AREJEA KUTOKA MAREKANI AENDA MOJA KWA MOJA KUWAFARIJI WAGONJWA MUHIMBILI


Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali mtoto Andrew Simba(15) aliyelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili wakati Rais alipowatembelea na kuwafariji  baadhi ya wagonjwa katika wodi ya Mwaisela leo.(picha na Freddy Maro).

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!