Hapa kuna kete aina mbili zinaonekana katika hii picha, za juu nyeupe sana ndizo zilitopatikana katika gari baada ya kupekuliwa na hizo za rangi kama njano kwa mbali ndizo zilitotolewa katika tumbo la marehemu baada ya kupasuliwa.
Huyo ndiye anayedaiwa kuwa ndiye ndugu wa marehemu, hizo ni karoti wakati wa zoezi la upekuaji.
Mmoja wa makachero wa jeshi la polisi akipekua hadi katika injini ya gari.
Mkuu wa Upelelezi wa makosa ya jinai mkoa wa Morogoro akiongea na waandishi mara baada ya kumalizika kwa kazi ya uchunguzi huku waandishi wakimtaka kutoa taarifa juu ya tukio hilo ofisini kwake mtaa wa Kitope.
KWA HISANI YA JUMA MTANDA...













No comments:
Post a Comment