Akiongea kwa njia ya mtandao, Queen amesimulia kuhusu changamoto anazokumbana nazo kutokana na tatizo hilo.
“Nimerithi hizi nywele toka kwa mama yangu na zilinianza nikiwa na
miaka 21. Kadri miaka ilivyozidi kusonga mbele, tatizo hili lilizidi
kusambaa mwili mzima.
“Mwanzo nilikuwa najisikia vibaya sana maana watu walikuwa wakiniona
ni kiumbe wa ajabu, lakini baadae nilizoea na ikanilazimu nikubaliane na
ukweli….
Akiongelea kuhusu changamoto za kimahusiano anazozipata ,Queen alikuwa na haya ya kusema:
KWA HISANI YA VITUKO VYA MTAA.
No comments:
Post a Comment