- Mwanaidi Brown Mwangasa ·
Ni kitu ambacho hakiwezekan ata kidogo ktk familia mkawa mnatabia moja. Mi camin ata kidogo ilo shitaka wanaloshitakiwa.....
Mubarak Lusonzo ·
Ngoja tusubili utawala wa rais mpya mwaka 2016 watatoka tu lakini kwa huu utawala wa sasa una jini kisirani.!
Shadia Saidi
Mwenyezi mungu yuko pamoja nao,na ss tunazidi kuwaombea kwa mwenyezi mungu awafanyie wepesi
ONE DAY YES
Bayona Ngaiza ·
Kwa hali hii bac itakuwa ngumu haki kutendeka tena make hapa ndo palikuwa mahali sahihi kuwatoa jela,ila kuna jambo moja huwa linaniumizaw kichwa,huwa nasikia baadhi ya watu wanadai kuna mkono wa mkubwa kwenye case hii.Hivi km ni kweli kwanini hawa jamaa wanakaa kimya hawasemi kwamba fulani ndo anawaumiza hata wakipotezwa ila jamii itajua ukweli
Hamisi Mahembora Shabani ·
In God we trust, iko siku ukweli utajulikana. Ni maisha tu hata wao waishi tu maana ndivyo walivyopangiwa.
Friday, 22 November 2013
WENGI WALIA NA KESI YA BABU SEYA NA MWANAE, NAKUSEMA HAWAKUTENDEWA HAKI.. HIZO NI BAADHI YA COMMENT KUHUSU KESI HIYO!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

























No comments:
Post a Comment