Wednesday, 20 November 2013

KIJANA ALIYEUA MMOJA, KUJERUHI 3 AKIWEMO MCHUMBA WAKE KWA RISASI, NAYE KUJIUA, ALIJIPANGA TANGU SEPTEMBER SOMA HAPA ALICHOKIANDIKA KWENYE FACEBOOK YAKE


 Mfanyabiashara wa magari jijini Mwanza, Gabriel Munisi (35), aliyejiua jana baada ya kumuua mtu mmoja na kujeruhi wengine watatu jijini Dar es Salaam katika tukio linalohusishwa na wivu wa mapenzi, alikuwa amepanga kufanya hivyo tangu September mwaka huu. September 18 mwaka huu kupitia ukurasa wake wa Facebook, Gabriel ambaye wengi walikuwa wakimuita Gabu, aliandika:
Najua mtasema sana ila hakuna anaejua ukweli zaidi yangu mm muhusika na najua wazi mengi mtawaza na hamtopata majibu yake…. (Remember all things are possible).


Source: Mwananchi,

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!