| MSANII JOSEPH MARA AKIONGEA NA WANDISHI WA HABARI MARA BAADA YA KUTOLEWA HUKUMU NA KUTUPILIA MBALI |
| BAADHI YA NDUGU WAKILIA WAKATI NGUZA NA MWANAE WAKIPANDA GARI LA MAGEREZA LEO |
| BAADHI YA WATU MBALIMBALI WALIOFIKA KATIKA MAHAKAMA YA RUFAA LEO |
| NDUGU NA JAMAA WAKILIA KWA HUZUNI KATIKA MAHAKAMA HIYO LEO |
| BAADHI YA NDUGU WAKIMUAGA NGUZA VICKING NA MWANAE JOHNSON NGUZA PAPI KOCHA |
| WANAMUZIKI NGUZA VICKING NA JOHNSON NGUZA WAKIWAGA NDUGU NA MASHABIKI NA JAMAA WALIOFIKA KWENYWE MAHAKAMA YA RUFAA LEO BAADA YA KUTUPIWA MBALI |
| WAKIPANDA KWENYE GARI LA MAGEREZA |
| WAKIPANDA KWENYE GARI LA MAGEREZA |
| WAKITOKA KATIKA CHUMBA CHA MAHAKAMA YA RUFAA LEO |













2 comments:
mungu awasaidie hawa jamaa wameteseka vya kutosha ukizingatia kesi yenyewe nasikia ilitungwa tu kuwaangamiza its soo sad, watu wanaua hawafungwi maisha iweje hawa?
Tanzania sheria ni kujuana, hii inaskitisha sana..
MIMI mkereketwa
emmamoshi yz56 minuter
Kiukweli hii nchi haina mwenyewe inauma sana jaman
Post a Comment