Sunday 20 October 2013

"NATAFUTA MUME WA KUNIOA....NIPO TAYARI KUMPA MOYO WANGU WOTE"........ALIYE TAYARI TUWASILIANE


Mimi ni  binti  mjasiliamali  ambaye  nimechoka  kuishi  peke  yangu  na  sasa nahitaji mwanaume  wa  ndoa  anayejiheshimu  na anayejua kupenda.Umri  wangu  ni  miaka 25, elimu  yangu  ni  form six.Asilimia kubwa ya wanaume ni wasumbufu  na  wana wanawake  wengi,kitu  ambacho  kwa  upande  wangu sikitaki  maana  najijua  nina  wivu....
Kwa  yeyote mwenye sifa hasa ya kuja kuwa mume mwema  ambaye  atanipenda  kwa  dhati  na  hatanisaliti  basi anijibu  kupitia  email  yangu. 

Kwa  upande  wangu  namhakikishia  kuwa  ntampenda  kwa  dhati, Sitamsaliti, ntamheshimu  na  ntawapenda  ndugu  na  jamaa  zake  wote  kwa  moyo  wangu  wote.

Mawasiliano: 
Email yangu  ni nancybast4@yahoo.com

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!