Mh.Balozi Job Lusinde akielezea misingi ya Mwalimu kwenye Maadhimisho ya Siku ya Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere katika viwanja vya Nyerere Square mjini Dodoma.
Baadhi ya Watumishi wa Umma na wakazi wa Mkoa wa Dodoma wakijumuika pamoja kuadhimisha Siku ya Kumuenzi Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere katika viwanja vya Nyerere Square mjini Dodoma.
Kutoka kushoto (mstari wa mbele) ni Waziri wa Utumishi Mh.Celina Kombani,Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dk.Rehema Nchimbi,Mstahiki Meya wa Manispaa ya Dodoma Mh.Emmanuel Mwiliko na Naibu Katibu Mkuu Utumishi Bw.HAB Mkwizu wakiserebuka katika maadhimisho ya siku ya Baba wa Taifa katika viwanja vya Nyerere Square mjini Dodoma.Wengine vi viongozi waandamizi serikalini walioalikwa kwenye maadhimisho hayo.













No comments:
Post a Comment