(Picha na Francis Dande)
Wachezaji wa Simba
na Ruvu JKT wakisalimiana kabla ya pambano lao la Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara
uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Simba imeshinda
2-0.
Mshambuliaji
wa Simba, Betram Mombeki akimiliki mpira huku akizongwana na wachezaji wa JKT
Ruvu, Nashon Naftali (kulia) na Emmanuel Pius wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya
soka Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa.
Kizaazaa
Mwamuzi
wa mchezo huo, A. Kayombo kutoka Rukwa akiwatuliza wachezaji wa JKT Ruvu baada
ya kuilalamikia pelnati waliopata Simba.
Mnazi
wa Simba akifurahia matokeo ya mechi ya leo.
Joseph
Owino akichuana na Mshambuliaji wa JKT Ruvu, Amos Mgisa.
Mshambuliaji
wa Simba, Haruna Chanongo akichuana na beki wa JKT Ruvu, Stanley Nkomola.
No comments:
Post a Comment