Saturday 21 September 2013

POLISI TABORA WAKAMATA MAJAMBAZI WATATU,WAHAMIAJI HARAMU KUMI NA MOJA


Watu watatu ambao ni wakazi wa wilaya ya Sikonge ambao wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Tabora kwa tuhuma za ujambazi wa kutumia silaha,watu hao ambao wamedaiwa kuwa wamekuwa wakisumbua wananchi na hata kuwasababishia madhara makubwa kutokana na vitendo vyao vya unyang'anyi wa kutumia Silaha.
Mmoja kati ya makachero wa Jeshi la Polisi wilayani Sikonge akijaribu kuiangalia Silaha aina ya Shortgun waliyoikamata kwa majambazi hao watatu huko wilayani Sikonge

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!