Saturday 21 September 2013

BREAKING NEWS........MAJAMBAZI YAMEVAMIA DUKA KUBWA LA WESTGATE KENYA, WAKO NDANI YA JENGO HILO KUANZIA SAA TANO ASUBUHI., POLISI ATAKAYETHUBUTU KUINGIA KUPIGWA RISASI

Breaking News:Majambazi wamevamia duka kubwa la bidhaa la Westagate mjini Nairobi nchini Kenya na kujeruhi watu kadhaa.Mpaka sasa majambazi hao wako ndani ya duka hilo kuanzia saa tano asubuhi leo na haieleweki kinachoendelea ndani.Wanausalama nchini Kenya wako nje ya jengo wakiangalia uwezekano wa kuingia ndani ila kuwaokoa waliondani ya jengo maana kila anayejaribu kusogelea eneo la duka hilo anapigwa risasi.

Majambazi wamevamia duka kubwa la bidhaa la Westagate mjini Nairobi nchini Kenya na kujeruhi watu kadhaa.Mpaka sasa majambazi hao wako ndani ya duka hilo kuanzia saa tano asubuhi leo na haieleweki kinachoendelea ndani.Wanausalama nchini Kenya wako nje ya jengo wakiangalia uwezekano wa kuingia ndani ila kuwaokoa waliondani ya jengo maana kila anayejaribu kusogele anapigwa risasi.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!