Saturday 14 September 2013

DK SHEIN AMJULIA HALI PADRI ALIYEMWAGIWA TINDIKALI ZANZIBAR

 

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Padre Joseph  Mwang'amba alipokuwa akitoa maelezo jinsi alivyopata mkasa wa kumwagiwa tindikali jana.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Padre wa Kanisa la Romani Katoliki Parokia ya Machui, Joseph Mwang'amba, alipofika katika Hospitali ya Mnazi Mmoja kumpa pole, Mjini Unguja, baada ya kumwagiwa tindikali Mjini Magharibi - Zanzibar.
Mmoja wa Ndugu wa Padre aliyemwagiwa tindikali akimueleza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, hisia zake kwa uchungu kutokana na kitendo hicho cha kumwagiwa tindikali Padre na kuomba hatua zilichukuliwe ili kukomesha vitendo kama hivi ambavyo vimeanza kuzoeleka.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!