Thursday, 11 July 2013

WASANII WAWILI PROFESA J, NA Z-ANTO WAFIWA NA MAMA ZAO,


Prof Jay akiwa na marehemu mama mzazi enzi za uhai wake
Habari zilizotufikia mda mfupi uliopita zinasema kuwa wasanii wa
 bongo fleva,Z-anto na Prof jay wote wamefiwa na mama zao,ambapo mama
 mzazi wa mwimbaji Z-anton  amefariki mchana
 wa leo baada ya kusumbuliwa na tatizo la ini pia mama
 wa Prof jay nae amefiwa na mama yake usiku huu..
Z-ANTO

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!