Monday, 15 July 2013

P-FUNK NA KAJALA KATIKA KUSHEREHEKEA SIKU YA KUZALIWA MTOTO WAO PAULA, WEMA BILA KUKOSA ALISHIRIKI KIKAMILIFU.







Happy Birthday, Paula


Leo ni siku ya kuzaliwa ya mtoto wa kwanza wa producer Paul Matthysse aka P-Funk Majani aliyezaa na aliyekuwa mchumba wake Kajala Masanja.






Wazazi hao wamemtembelea mtoto wao shuleni na kupiga naye picha.


Kupitia Instagram, Kajala ameshare picha kadhaa zinamuonesha akiwa na Majani, binti yao Paula na Wema Sepetu

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!