Monday, 8 July 2013

MWILI WA MTANZANIA ALIYEFARIKI ITALY KUSAFIRISHWA KWENDA TANZANIA

Mwili wa marehemu Tofiki Said Mpira, jana jumamosi 06-07-2013 uliagwa na umati wa Watanzania toka Roma na Napoli tayari kwa kusafirishwa kwenda nchini Tanzania jumanne tarehe 09-07-2013. Itakumbukwa kuwa Marehemu Tofiki Said Mpira alifariki mjini Rome tarehe 28 Juni 2013 kwenye hospitali ya Lazzaro Spallanzani  saa kumi na mbili na nusu asubuhi.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!