Sunday, 14 July 2013

MASIKINI IRENE ALIKUWA HAJAWAJUA MARAFIKI. SOMA ALICHOKIANDIKA!

Irene

irenewaferegola8 Kunasaa najiuliza kwanin ukimwamin 

mtu ndio anageuka...kwanin ukiwa muwaz 

watu wanakuchukulia vbaya? Leo nimeumia sanaaa 

kuliko skuzote...sijaamini mtu niliye mwamini 

kumuona kama rafiki yangu anaweza kuongea shit 

kuhusu mim...au najiuliza siruhusiwi kuwa na rafik wa 

kiume? Lakin sanyingine nakaa chin nasema god ...u 

know me better

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!