WATU sita wameanguka na kupoteza fahamu wakati wa kuuaga mwili wa aliyekuwa msanii wa muziki wa Kizazi kipya nchini Tanzania katika viwanja vya Leaders Club, watu hao ni wanawake wanne na wanaume wawili na wanaendelea kupewa huduma ya kwanza kutoka kwa kikosi cha msalaba mwekundu waliopo katika viwanja hivi na kuwapa huduma ya kwanza.
Wednesday, 5 June 2013
WATU SITA WAZIMIA BAADA YA KUONA MWILI WA MAREHEMU MANGWAI
WATU sita wameanguka na kupoteza fahamu wakati wa kuuaga mwili wa aliyekuwa msanii wa muziki wa Kizazi kipya nchini Tanzania katika viwanja vya Leaders Club, watu hao ni wanawake wanne na wanaume wawili na wanaendelea kupewa huduma ya kwanza kutoka kwa kikosi cha msalaba mwekundu waliopo katika viwanja hivi na kuwapa huduma ya kwanza.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)













No comments:
Post a Comment