
Hivi ndivyo hali ilivyo ndani ya Ukumbi huu wa Nyumbani
Lounge,Namanga jijini Dar es Salaam ambapo kulikuwa na bonge moja la show la
Mwanadada mkongwe kwenye tasnia ya muziki hapa nchini,Lady Jay Dee ambaye
anatimiza miaka 13 tangu alipoanza kazi yake ya muziki.katika show hii
wanamuziki mbali mbali wamepanda jukwaani akiwepo Mh. Mbunge wa Jimbo la Mbeya
Mjini,Mh. Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu.













No comments:
Post a Comment