Ameongeza kuwa kukubalika kwa mwanadada huyu pia kulidhihirika pale watazamaji katika tukio hilo walipomshinikiza Meneja wa msanii huyo (Gadna) kutaja kiingilio na tarehe ya maadhimisho ya miaka 13 ya Jaydee katika uga wa muziki.
Tuesday, 11 June 2013
RUGE ASHAURIWA KUMUOMBA MSAMAHA LADY JAYDEE, AONAVYO MTANGAZAJI WA MAGIC FM .
Katika kipindi cha Sun Downer cha Magic FM, mtangazaji huyo amesema kwamba shangwe zilizolipuka mara baada ya Jaydee kutajwa kuwa miongoni mwa wanaowania tuzo ya msanii bora wa kike katika tuzo za KTMA, ni ishara ya mwanadada huyo kukubalika katika jamii.
Ameongeza kuwa kukubalika kwa mwanadada huyu pia kulidhihirika pale watazamaji katika tukio hilo walipomshinikiza Meneja wa msanii huyo (Gadna) kutaja kiingilio na tarehe ya maadhimisho ya miaka 13 ya Jaydee katika uga wa muziki.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)














No comments:
Post a Comment