Sunday, 16 June 2013

KIJANA AMEKUTWA AMEKUFA KATIKA MAZINGIRA YA KUTATANISHA HUKO KIGOGO JIJINI.




Kijana aliyefahamika kwa jina moja la Kobero, amekutwa amekufa katika jumba moja linaloendelea kujengwa katika  maeneo ya Kigogo jijini,kijana huyo marehemu pia alikutwa na chupa ya plastiki, ambayo inasadikiwakuwa ilikuwa na Pombe haramu aina ya Gongo....
Sababu ya kifo cha kijana huyo bado hakijajulikana, na polisi wanaendelea na uchunguzi.

Chanzo. GPL

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!