Saturday 22 June 2013

HUYU NDIYE MWANAFUZI WA UDSM ALIYEPIGWA RISASI NA MAJAMBAZI, HAYA NI MAELEZO KWA YALIYOTOKEA.


[HURUMA YAKO].

Anaitwa Alex Robert, Mtanzania mwenzetu. Ni Mwanafunzi wa mwaka wa nne na wa mwisho katika kitivo cha sheria pale mlimani jijini DSM.
Usiku wa kuamkia jana alipokua akijisomea na kuandaa "Disertation" na wenzake, walijikuta wakivamiwa na majambazi na kuamuriwa watoe "computer" zao na pochi za fedha.
Walikubali wakawapa computer na pochi na majambazi yakaanza safari yao.
Kutokana na umuhimu wa kazi waliyokuwa wakiiandaa na uchungu wa elimu aliokuwa nao kijana Alex Robert aliamua kuwafuata majambazi walipokua wakiondoka ili angalau apate hata soft copy ili kazi yao isipotee, bahati mbaya haina mwenyewe, alipigwa risasi ya tumboni na yale majambazi bila huruma, yalimwacha akigalagala chini bila msaada.
Kwa sasa yupo katika hospitali ya taifa ya muhimbili akiwa amekwisha kufanyiwa oparesheni.
Maombi na Dua zako zinahitajika, tafadhali kwa imani TYPE AMEN. ili kijana Alex Robert arejee katika hali ya kawaida. ili aje kulitumikia Taifa kwa moyo wa kizalendo.


 Mwanafunzi , Alex Robert wa mwaka wa nne na wa mwisho katika kitivo cha sheria pale mlimani jijini DSM.
Usiku wa kuamkia jana alipokua akijisomea na kuandaa "Disertation" na wenzake, walijikuta wakivamiwa na majambazi na kuamuliwa watoe "computer" zao na pochi za fedha.
Walikubali wakawapa computer na pochi na majambazi yakaanza safari yao.
... Kutokana na umuhimu wa kazi waliyokuwa wakiiandaa na uchungu wa elimu aliokuwa nao kijana Alex Robert aliamua kuwafuata majambazi walipokua wakiondoka ili angalau apate hata soft copy ili kazi yao isipotee, bahati mbaya haina mwenyewe, alipigwa risasi ya tumboni na yale majambazi bila huruma, yalimwacha akigalagala chini bila msaada.

 


 Kwa sasa yupo katika hospitali ya taifa ya muhimbili akiwa amekwisha kufanyiwa oparesheni





No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!