Kamishina Jenerali wa Magereza CGP John C. Minja Akikagua Gwaride maalum lililoandaliwa na maaskari wa Jeshi la Magereza kwa ajili yake mara baada ya kuwasili katika viwanja hivyo kwa ajili ya kuwatunuku nishani Maaskari.
Kamishina Jenerali wa Magereza CGP John C. Minja akipokea Salam za heshima kutoka kwa Askari wa Jeshi la Magereza Mkoa wa Mbeya













No comments:
Post a Comment