Wednesday 15 May 2013

SAKATA LA NGONO NA MBWA HUKO KENYA, WANAWAKE 11 KORTINI SERIKALI YACHARUKA


Wanawake11 toka Kenya pamoja na Mzungu mmoja Raia wa Sweden wamepandishwa kizimbani, kwa kosa la kufanya ngono na mbwa. Wanawake hao wamedaiwa kufanya tendo hilo, na kurekodiwa



Wanawake hao wakiwa Mahakamani.
Wamefahamika kwa majina ya Beatrice Mueni Mwosa, Waithera Karanja,Marry Nyambura Kimani,Magdarin Wairimu,na wengineo ambapo inadaiwa walinaswa na Polisi katika eneo la Nyali wakifanya ngono hizo chafu na mbwa.



Mzungu huyo ambaye ni Raia wa Sweden.
Inadaiwa kuwa Mzungu huyo aliingia nchini humo kama mtalii, ambapo alikuwa karibu sana na mwanamke mmoja wa kikenya ambaye ndiye aliyewakusanya wanawake wenzie ili kukamilisha zoezi hilo.
Mswedish huyo alikutwa na vifaa kama kamera, laptop kwa ajili ya kurekod mpango mzima, na kwamba vitu hivyo vilichukuliwa na Polisi kwa ajili ya ushahidi.


Washitakiwa watoka Mahakamani.
Makamu wa Rais wa Kenya ameeleza masikitiko yake juu ya tukio hilo, na ameagiza kwa vyombo vya usalama kuwa Raia wote wa kigeni wenye tabia chafu kama hizo watimuliwe mara moja,




No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!