Saturday 25 May 2013

RAISI KIKWETE AHUDHURIA MKUTANO WA UMOJA WA NCHI ZA AFRIKA HUKO ETHIOPIA.



Raisi Kikwete akiwa na viongozi mbalimbali wa nchi za  Umoja wa Afrika(UA) wakitoa heshima zao kwa waliotangulia mbele ya haki katika sherehe za kuazimisha miaka 50 ya umoja huo, sherehe hizo zilifanyika katika Makao makuu ya umoja wa nchi za Afrika huko Addis Ababa Ethiopia.


No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!