Sunday 31 May 2020

Uingereza nao waandamana kupinga mauaji ya George Floyd


Sehemu mbalimbali nchini Uingereza, maelfu ya waandamanaji, wamejitokeza kupinga mauaji ya Mmarekani mweusi Geoge Floyd aliyeuawa kwa kukandamizwa shingoni na Police nchini Marekani mapema wiki hii

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!