Sunday 12 April 2020

Tanzania, imefuta safari za ndege zote za abiria za kimataifa

Mamlaka ya Usalama wa Anga nchini Tanzania, imefuta safari za ndege zote za abiria za kimataifa na kuweka vikwazo zaidi kwa ndege maalum za mizigo zitakazoruhusiwa kutua . Hii ni hatua nyingine ya kupambana na Ugonjwa wa Covid-19.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!