Wednesday 25 March 2020

Ummy: Tumepokea msaada wa Jack MA


Image may contain: one or more people and people standing
Waziri wa Afya Ummy Mwalim amesema tayari Tanzania imepokea msaada wa vifaa kinga vya kupambana na corona vilivyotolewa na Bilionea wa China Jack Ma na Alibaba Foundation, Ummy amemshukuru pia Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed ambaye amepewa jukumu la kusambaza vifaa hivyo Nchi zote Afrika.

MillardAyo.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!