Friday 6 March 2020

Corona yaingia south Africa

Image may contain: 1 person
Rais wa Afrika Kusini Cryril Ramaphosa amethibitisha kuwa Mtu mmoja ambaye ameingia South Africa akitokea Italy amebainika kuwa na virusi vya corona na kusema hawana sababu ya kuficha kwani kutoa taarifa mapema kutasaidia Watu kuchukua tahadhari na kujikinga ili kuepuka virusi kusambaa.

MillardAyoUPDATES

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!