Tuesday 31 March 2020

Bibi afariki kwa Corona baada ya kukataa kuwekewa mashine ya kupumulia

Bi Suzanne Hoylaerts(90), raia wa Ubelgiji, amefariki dunia kwa maradhi yanayosababishwa na virus vya Corona, baada ya kukataa maendekezo ya madaktari kwamba awekewe mashine ya kupumulia.. Aliwaambia madaktari, "Wawekeeni vijana, wao ni wahitaji zaidi. Mimi nimemaliza maisha yangu. Katika umri huu nataka nini zaidi?"

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!