Saturday 7 December 2019
Seth Bosco Afariki Dunia
Mdogo wa Marehemu Steven Kanumba, Seth Bosco amefariki usiku wa kuamkia leo baada ya kuzidiwa akiwa nyumbani kwa Mama Kanumba Kimara,DSM alipokuwa akiuguzwa kwa muda sasa baada ya kufanyiwa upasuaji kwenye uti wa mgongo,Abela ambaye ni Dada wa Marehemu amethibitisha.
#RIPNduguYetu🙏🏽
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment