Hizi ni baadhi ya sanamu zilizopo katika nyumba za kumbukumbu kuonyesha enzi za utawala wa wakoloni barani Afrika.
Tanganyika ilipata uhuru na kujitoa mikononi mwa wakoloni tarehe 9 December mwaka 1961. Chini ya uongozi wa Mwl.Julius Kambarage Nyerere
1964 Tanganyika na Zanzibar ziliungana kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
No comments:
Post a Comment