Sunday 24 March 2019

Viva Taifa stars Viva Tanzania! Tumewakung'uta 3-0 waganda


Tanzania yafuzu Fainali za Mataifa ya Afrika mwaka 2019 zitakazofanyika nchini Misri mwezi Juni mwaka huu. #AFCON2019


Ni baada ya kuichapa Uganda mabao 3-0 na kumaliza kushika nafasi ya pili kwenye kundi L, ikifikisha pointi 8 nyuma ya vinara Uganda wenye pointi 13.
FT: Tanzania 3-0 Uganda
FT: Cape Verde 0-0 Lesotho

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!