Saturday 14 October 2017

Zanzibar: Kumbukumbu ya kifo cha mwalimu Nyerere, watumishi 59,967 kupandishiwa mishahara na madaraja mwezi ujao


ZANZIBAR: Rais John Magufuli amesema takribani Watumishi 59,967 wataanza kuongezewa mishahara na kupandishwa madaraja kuanzia mwezi ujao.


- Rais akaongeza kuwa kabla ya Watumishi kudai nyongeza ya mishahara ni lazima kwanza wafahamu uwezo wa Serikali.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!