Monday 9 October 2017

Trump aomba ufadhili wa ujenzi wa ukuta na kufukuzwa kwa wahamiaji

Protesters hold up signs during a demonstration against US President Donald Trump during a rally in support of the Deferred Action for Childhood Arrivals (Daca) in New York, 5 October
Ikulu ya Marekani imejumuisha makubaliano yoyote mapya kuhusu wahamiaji wadogo wasio na vibali vya uhamiaji na kuwazuia wahamiaji wasio halali, pamoja na ujenzi wa ukuta mpya kati ya mpaka wake Mexico.


Rais wa Marekani Donald Trump anaomba ufadhili kwa ujenzi wa ukuta, kufukuzwa haraka watu kutoka Marekani na kuajiriwa maefu ya maafisa wapya wa uhamiaji.
Mwezi ulioita alifuta mpango wa Obama uliofahamika kama "Dreamer" ambao ulikuwa unawalinda wahamiaji 690,000.
Lakini wanademokrat wenye ushawishi katika bunge wamekataa mapendekezo hayo mapya.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!